Posts

Showing posts from May, 2022

BIASHARA YA MTUMBA. (WATOTO)

BIASHARA YA NGUO ZA MITUMBA ZA WATOTO (Mwongozo)   Hii biashara ina faida sana ila kama ilivyo kwa biashara zote uchaguzi wa Eneo ni muhimu,lakini pia hata bila kuwa na eneo ili mradi ukipata mawasiliano na watu unaolenga kuwafanya wateja wako na kuweza kuwaletea nguo za watoto quality kulingana na mahitaji yao basi waweza ukamudu soko la mitumba ya watoto.   πŸ—️Nguo za watoto miaka 0-4, zitakutoa hasa wa kiume, bukta za jeans, vigauni ya wakike pia vinalipa, kumbuka watoto huvalishwa nguo zaidi ya nne kwa siku, hujikojolea kujichafua kwahiyo wanahitaji nguo nyingi kuliko rika lingine.   πŸ—️NGUO za watoto utakayo muuzia MWANAUME ni bei ya juu kuliko MWANAMKE sababu ni kwa kuwa wanaume wengi hawajui bei za nguo kama akina mama.   πŸš©Pia NGUO ZA WANAWAKE HASA WADADA ZINALIPA kumbuka wanaume hawana tabia za kununua nguo kama wanawake.   πŸ—️(Bale)Robota moja la nguo za watoto lina nguo 300 au 400 na kuendelea linauzwa GRADE Three 220,000/= G...

RICHEST PERSON IN BABEL (SWAHILI VERSION)

SIMULIZI: πŸ“–: Mtu Tajiri wa Babeli Lugha: Kiswahili Kurasa: 147 Fomat: PDF MAUDHUI: Elimu, Kanuni na Miongozo thabiti ya mafanikio ya kifedha na Maisha kwa kutumia simulizi za kweli za kusisimua zilizothibiti katika mji tajiri zaidi kutokea duniani, mji wa Babeli (Babylon),mji ambao ulikuwa na idadi kubwa ya matajiri kuliko mji wowote ule zaidi ya miaka 5000 iliyopita. Miongozo na kanuni ambazo mpaka leo hii zinatumiwa na matajiri pamoja na taasisi za kifedha kama vile mabenki, Bima na Taasisi za ukopeshaji fedha katika kujipatia, kujiongezea na kuhifadhi mali na fedha. Ni kitabu kinachotoa miongozo na kanuni za uwekaji akiba, uwekezaji wa kibiashara,njia za kujikwamua na mikopo, njia za kudhibiti utapeli, njia za kupambana na changamoto za utafutaji fedha, njia za kujikwamua na umaskini na kuelekea kwenye utajiri, Taaluma na ulaghai wa kamari (betting) na mengine mengi. 1 * MTU TAJIRI ZAIDI NDANI YA BABELI Katika mji wa kale wa Babeli aliishi b...